Overblog
Edit post Follow this blog Administration + Create my blog
PK ONLINE NEWS

Kauli ya Spika Ndugai kwa Wabunge wanaojichubua

September 10 2018 , Written by pascal kadushi

Kauli ya Spika Ndugai kwa Wabunge wanaojichubua

Spika wa Bunge Job Ndugai amepiga marufuku kwa Wabunge wote kutoingia Bungeni wakiwa na kope bandia na kucha Bandia, lakini pia amesema anaendelea kukusanya maoni kuhusu wale wanaojichubua ngozi zao ili nalo alifanyie maamuzi.
Spika Ndugai amesema hayo kutolewa hoja ya madhara yatokanayo na kucha pamoja na kope bandia iliyotolewa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile

Share this post
Repost0
To be informed of the latest articles, subscribe:
Comment on this post