EMMANUEL FRANCIS NIMEFUNGA MWAKA NA EP -NAKUAMINI
Mwimbaji wa Nyimbo za Injili Emmanuel Francis mwenye Masikani yake Jijini mwanza, Anayevuma kwa sasa na kazi zake kama vile 'Ngara na Nuru ' Amesema kwa mwaka 2021 Nimefuna na Ep (Nakuamini) Tayari ipo kwenye mitandao yangu ya kijamii Youtube, Boomplay...
LEAH BARU NAKUJA KIVINGNE 2022
Uthamani nilio nao kwa Mungu ni mkubwa sana, haufanani na chochote wala kulingana na chochote.Hata kama nitapitia magumu mangapi bado ni wathamani machoni pa... Mwimbaji wa Nyimbo za Injili kutoka Tanzania Anayevuma kwa sasa na kibao chake cha 'WATHAMANI'...