EMMANUEL FRANCIS NIMEFUNGA MWAKA NA EP -NAKUAMINI
Mwimbaji wa Nyimbo za Injili Emmanuel Francis mwenye Masikani yake Jijini mwanza, Anayevuma kwa sasa na kazi zake kama vile 'Ngara na Nuru ' Amesema kwa mwaka 2021 Nimefuna na Ep (Nakuamini) Tayari ipo kwenye mitandao yangu ya kijamii Youtube, Boomplay na Audiomack kwa jinala la Emmanuel Francis
Emmanuel Francis - Nakuamini (Official Audio)
Warumi 10:9-12Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka. Kwa maana k...